Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Nairobi
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Kenya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (IATA: NBO, ICAO: HKJK), ni uwanja mkubwa zaidi wa ndege nchini Kenya unaohudumia Nairobi, mji mkuu na jiji kubwa zaidi la Kenya.